Joseph Mnjokava

@mwendashamba

Tanzania
Posts
2,816
Followers
2,341
Following
2,985
Tulijishughulisha na kila sekta baada ya kumaliza kidato cha nne nakumbuka hatukulupwa hata senti tano na mkuu wa shule Mwl Fast - Shule ya Msungi Munze Marieni Chome Same 1999
2 0
1 hour ago
Harakati za kujifunza muziki 1999
1 0
10 days ago
Nilikua jasiri sana kukwea huyu mnyama nilijiona niko juu sana - Njiro Arusha Tanzania 1999
0 0
11 days ago
Kumcha Bwana ndicho chanzo cha maarifa !
2 0
11 days ago
Nanenae Njiro Arusha Tanzania 🇹🇿 1999
3 0
14 days ago
Nimepata baraka sana kusimama kwenye madhabahu Ya Kibwere Lutheran Dar es salaam na baba mthiolojia Petro Zakayo
8 5
19 days ago
Heri ya Siku ya mwanamke duniani kwako kipenzi
4 0
19 days ago
Nilipohitimu kidato cha nne nilienda Nyumba ya Mungu kufanya biashara ya maharage na kununua samaki kupeleka milimani 1999. Nilikua napenda sana raha hivyo nilienda kuogelea peke yangu kwenye dimbwi la ziwa ya Mungu niliogelea takribani kila siku ya week, sehemu niliyokua naogelea kulikua na mamba wengi ambao walikula mbuzi za wanyeji sana ila kwa bahati mbaya hakuna aliyeniambia na niliingiwa na mashaka kwanini watu wanaogelea mbali na si hapa ninapopapenda punde alitokea kijana mmoja jina lake anaitwa Emmanuel Mlacha aka Mhando, kwa kushangaa na kwa hofu kubwa aliniuliza wewe ni Mpare au Mnyamwanga nikamwambia mimi ni Mpare akaniambia toka haraka kwenye maji hapa ni hatari! Nikamwangalia nikataka kumwambia mbona umechelewa nimeoga wiki mbili hapa! Ila nikanyamaza tu akaniambia tumeshapoteza mbuzi watano mwaka huu na hapa natafuta mwingine nafikiri kaliwa. Nilitoka kwenye maji nikajiangalia nikasema sio kwa akili zangu wala nguvu zangu ila ni kwa Neema tu! Wewe unafikiri kwanini sijaliwa mpaka leo
2 4
21 days ago
It was happy time with Upendo Langeni , I, Mwl Kazeni and my father dingi during my graduation day 1998
2 0
23 days ago
Baba yangu mdogo engineer Baraka Senzighe amelala asubuhi ya leo! Nitamisi kuongea naye kingereza nikiwa kijijini !
3 4
25 days ago
Nikiwa na rika enzi za ujana Huruma Anderson Kuahoto na Elia Jumatatu kulia siku ya mahafali ya kwanza ya shule ya upili Chalao Chome Same Tanzania 🇹🇿
4 0
25 days ago
Mbele ya chakula lazima sura zibadilike - Chalao Secondary School 1998
0 0
26 days ago