Haikuwa rahisi kufika hapa tulipoishia ilihitaji nguvu pamoja na umoja🦁hatukufikia malengo kama ilivokuwa ila hatuna sababu yakuweka vichwa chini bali tuinue vichwa vyetu juu na kusonga mbele,🦁tunaamini katika kutimiza malengo yetu bila kujali tunaanguka na kusimama marangapi, kwa pamoja twendeni tukaumalize kwa nguvu zaidi msimu kwa mashindano yaliobaki.Pongezi nyingi sana ziwaende wachezaji,benchi la ufundi,viongozi wetu, Wenyekiti wetu wote wawili pamoja na C.E.O wetu @bvrbvra kwa juhudi kubwa iliyofanyika @moodewji tunashukuru sana🙏🏿 hujawahi kutuacha peke yetu ukaribu wako umekua nguvu siku zote kwa wachezaji wako. Shukrani nyingi sana kwa mashabiki wetu inueni vichwa vyenu juu kabisa na mjivunie mafanikio ya club yenu mmekua chachu kubwa kwenye mafanikio yote kwa vipindi vyote,naamini nyie ni moja ya mashabiki bora kabisa kwa sasa ndani ya Afrika mlijitambulisha wenyewe na timu yenu ikawatambulisha pia kuweni wenye fahari kuwa mashabiki wa SIMBA.. twendeni tukamalize msimu kwa nguvu na umoja💪🏿 Nguvu moja🦁
Suluhisho la kwanza kuzipa nguvu elektroniki zako na zenye sifa za kukupa uhakika wa kudumu, Ubora wa hali ya juu kwa bei nafuu! Battery pekee za MO Simba Power! @metlgroup