@edgarmwaitenga
Hivi Bado inapiga route
2 years ago
@linumarobert
Kuna nn mwanza mbona hawakai Sana .mwindaji (hunters ) nae Yuko WAP .Kuna mwindaji mwingine nimeona Yuko na ruti ya dodoma DAR ni Yule wa mwanza au kampun imesogeza vyombo kwa waheshimiwa ???
2 years ago
@daudiaidani
Dar to Mwanza sh ngapi?
2 years ago
@kissanga9965
Hii ni benz gan ndo kama ya Azam au tofauti
2 years ago