Pixwox
English
English
español
português
русский
Deutsch
français
itaaano
Nederlands
polski
Indonesia
العربية
ไทย
Tiếng Việt
Türkçe
繁體中文
简体中文
日本語
한국어
Pixwox
budah_sports
Post
Abdillah Hassan Chaus
@budah_sports
2 years ago
119
7
Download
Inasemekana kunguru wa Lubumbashi (TP Mazembe) wako serious na fundi wa kandanda Faysal Salumu(Feytoto) wako katika vita ya kuhakikisha wanaipta saini ya mchezaji huyo..... Wakati wananchi wanawaza Kuwa bora msimu ujao Kwa kushusha makombora mazito huku imekuja pesa ndefu kwajili ya Faysal..
#yangawhatsapponfire🔥🔥
#yangasc
#wananchi
#sisilatifachallenge
#burudaniinaendelea
#sisinisokasheva
_21
#sisinisokaburudaniinaendelea
#burudaniisiyoumiza
#yangawhatsapmakaomakuu
#sokakilevi
#mpiramkubwa
@myke_chriss57
Wakamchukue mzamiru huku fei hauzwi
2 years ago
@henrysumari
Fey Toto mwenyewe anasemaje
2 years ago
@mbangaemmanuel
Hiyo pesa haiendani na thaman ya fundi wa Moira waweke b 2
2 years ago