2 tahun yang lalu
23
0
Baada ya kukamilisha mazungumzo na kiungo wao Pedri kuhusu kuongeza mkataba wa miaka mitano, Klabu ya Fc Barcelona ipo kwenye hatua za mwisho za mazungumzo na Ansu Fati chini ya Wakala Mendes ili asaini mkataba mpya wa muda mrefu wa kuendelea kuitumikia timu hiyo Wachezaji wengine ambao wapo kwenye mazungumzo ya kuongeza mikataba yao ni Gavi, Araújo pamoja na Dembélé Follow 👉 @sport_jungle1 #sport _jungle1update #sport #tunakuhabarishakilichoborazaidi #wasafimedia #wingawakimataifaaupdates #enjoysoccer⚽️ #sport _jungle1update #ilovethisgame #kitengemaulidi #sportarena #efmmedia #azamsports2 #azammedia #oneteamonedream #nguvumoja✊🏽 #timuborabidhaabora #sisinisokaburudaniinaendelea #sisinisoka #sisitunawatu #daimambelenyumamwiko